2 Kings 19:28

28 aKwa sababu unaghadhibika dhidi yangu,
na ufidhuli wako umefika masikioni mwangu,
nitaweka ndoana yangu puani mwako
na hatamu yangu kinywani mwako,
nami nitakufanya urudi kwa njia ile uliyoijia.’
Copyright information for SwhNEN